Si Chokoraa ni Mtu
Mja huyu mwenzetu, mbona tunamudhulumu.
Jama Tunakosa utu, hilo nanyi lifahamu.
Piya na yeye ni mtu, tumutolee ugumu.
Si chokoraa ni mtu, ana akili timamu.
Blogu ya Mashairi
Mstahiki Zack al-maarafu Sauti ya babu ni mzaliwa wa Morogoro,Tanzania. Baadaye alihamia Mombasa, Kenya. Mstahiki ameghani mashairi yake kwenye kipindi Nuru ya Lugha, Radio Maisha na Yard Fm Hivi sasa, Zack anaigiza na anazidi kuimarisha kipawa cha uanahabari, uandishi na uigizaji, katika kituo cha Commenius Learning Centre, Kisii, Kenya.
Mja huyu mwenzetu, mbona tunamudhulumu.
Jama Tunakosa utu, hilo nanyi lifahamu.
Piya na yeye ni mtu, tumutolee ugumu.
Si chokoraa ni mtu, ana akili timamu.
Salamu zangu mwanzoni, kalamu ninaishika.
Wakenya niwajuzeni, uchungu ulonifika.
Nchi yetu ya zamani, mabaya yameifika.
Mwanadamu tenda mema, ukaepuke kiyama.
Unaweza kupata App yetu mpya kutoka kwa Google Play Store na uweze kulisoma shairi hili vizuri kwa simu yako au kulihifadhi usome baadaye bila mtandao